[{"data":1,"prerenderedAt":-1},["ShallowReactive",2],{"page:en-tz\u002Fwork-in-tanzania\u002Fcollective-bargaining-agreement\u002Fmkataba-wa-makubaliano-baina-ya-kampuni-ya-reli-tanzania-trl-na-chama-cha-wafanyakazi-wa-reli-tanzania-trawu-":3},{"id":4,"slug":5,"title":6,"short_title":7,"intro_text":8,"meta_description":8,"seo_title":8,"path":9,"content_type":10,"locale":11,"go_live_at":7,"first_published_at":12,"page_created_at":13,"published_at":12,"edit_url":14,"breadcrumbs":15,"seo":23,"data":31,"children":129,"content_type_view":130,"extra_breadcrumbs":131,"body":133,"body_blocks":144,"related_pages":148},608,"collective-bargaining-agreement","Collective Bargaining Agreement",null,"","\u002Fen-tz\u002Fwork-in-tanzania\u002Fcollective-bargaining-agreement","collective_agreements.collectiveagreementoverview","en_TZ","2025-07-27T08:21:24.461051+00:00","2026-04-02T11:17:39.121481+00:00","\u002Fcms\u002Fpages\u002F608\u002Fedit\u002F",[16,19,22],{"title":17,"slug":18},"Tanzania","en-tz",{"title":20,"slug":21},"Work in Tanzania","work-in-tanzania",{"title":6,"slug":5},{"title":6,"description":8,"image":24,"canonical":25,"robots":26,"og_type":27,"twitter_card":28,"locale":18,"created_at":29,"last_modified_at":30},"https:\u002F\u002Fwageindicator.org\u002Fmedia\u002Fimages\u002FSocial_media_preview_image_-_2025.2e16d0ba.fill-1200x630.png","https:\u002F\u002Fwageindicator.org\u002Fen-tz\u002Fwork-in-tanzania\u002Fcollective-bargaining-agreement\u002F","index, follow","website","summary_large_image","2025-07-27T10:21:24.461051+02:00","2026-04-02T13:17:39.220874+02:00",{"cba":32,"clauses":43,"details":127,"translations":128},{"id":33,"uid":34,"url":35,"name":36,"locale":11,"override_title":8,"title":37,"browser_title":38,"browser_description":39,"text":40},"mkataba-wa-makubaliano-baina-ya-kampuni-ya-reli-tanzania-trl-na-chama-cha-wafanyakazi-wa-reli-tanzania-trawu-","097f1f10-661b-11e3-9ce3-001e0bbf9952","https:\u002F\u002Fcobra.wageindicator.org\u002Fcountries\u002Ftanzania\u002Fmkataba-wa-makubaliano-baina-ya-kampuni-ya-reli-tanzania-trl-na-chama-cha-wafanyakazi-wa-reli-tanzania-trawu-\u002Fmkataba-wa-makubaliano-baina-ya-kampuni-ya-reli-tanzania-trl-na-chama-cha-wafanyakazi-wa-reli-tanzania-trawu-\u002F","Mkataba Wa Makubaliano Baina Ya Kampuni Ya Reli Tanzania (TRL) Na Chama Cha Wafanyakazi Wa Reli Tanzania (TRAWU) - 2012","TZA Kampuni Ya Reli Tanzania (TRL) - 2011","Tanzania - TZA Kampuni Ya Reli Tanzania (TRL) - 2011","TZA Kampuni Ya Reli Tanzania (TRL) - 2011 - Transport, logistics, communication",{"name":41,"data":42},"CBA -TRL swahili.html","\n              \u003C!--?xml version=\"1.0\" encoding=\"UTF-8\"?-->\n\n\n\n  \u003Cmeta http-equiv=\"content-type\" content=\"text\u002Fhtml; charset=UTF-8\">\n  \u003Ctitle>New1\u003C\u002Ftitle>\n  \u003Cmeta name=\"generator\" content=\"Amaya, see http:\u002F\u002Fwww.w3.org\u002FAmaya\u002F\">\n\n\n\n\u003Ch1>MKATABA WA MAKUBALIANO BAINA YA KAMPUNI YA RELI TANZANIA (TRL) NA CHAMA CHA\nWAFANYAKAZI WA RELI TANZANIA (TRAWU)\u003C\u002Fh1>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>1.0 UTANGULIZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mkataba wa Makubaliapo ya pamoja yamefanyika mwezi wa Machi tarehe 10 Mwaka\n2011.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Kati ya\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Kampuni ya Reli Tanzania, iliyoundwa chini ya Sheria ya Makampuni Na. 12 ya\n2002 ya S.L.P. 70364 Mtaa wa Algeria, Dar es Salaam (ambaye ataitwa\n“Kampuni”) kwa upande mmoja,\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Na\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania, kilichoundwa chini ya Sheria Na. 6\nya mwaka 2004 chenye anwani ya S.L.P. 78458 Mtaa .wa Sofia\u002FBibi Titi Dar es\nSalaam (aimbaye ataitwa TRAWU) kwa upande wa pili.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>KWA KUWA Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU) kinaitambua Kampuni\nya Reli Tanzania kuwa imewaajiri Wafanyakazi arnbao wengi wao ni wanachama\nwake.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>NA KWA KUWA Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania unakitarnbua Chama cha\nWafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU) kuwa ndicho chombo pekee cha Wafanyakazi\nkinachotetea haki na maslahi yao.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>KWA KUWA kila Mamlaka inatambua, kuwepo kwa Mamlaka nyingine Kisheria, na\nkwamba Wafanyakazi hawa ni kiungc kikubwa cha ushirikiano, \u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>HIVYO BASI MKATABA HUU UNASHUHUDIA\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>2.0 WAHUSIKA\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mkataba huu utawahusu Wafanyakazi wote wa Kampuni isipokuwa Wajumbe wa Bodi\nya Wakurugenzi (Board of Directors) au wale wenye Mkataba maalumu ambao si raia\nwa nchi hii (Expatriates). Maana ya Wafanyakazi wote kwa rnujibu wa Mkataba huu\nni: Naibu Wakurugenzi Wakuu, Wakuu wa Idara na Wafanyakazi wa Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>3.0 UFAFANUZI WA MAAINISHO\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Katika Mkataba huu, tafsiri za maneno zimekubalika kama ifuatavyo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Baa”Itakuwa na maana ya mahali ambapo pornbe huuzwa au hunywewa hata\nkama mahali hapo hapana leseni rasmi ya kileo\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Kanuni”Kanuni ni za Kampuni ya Reli Tanzania (TRL .Service\nRegulations)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Kukaimu Madaraka”Itakuwa na maana ya Mfanyakazi kushikilia madaraka\nyaliyo juu ya ngazi yake ya ajira.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Kushikilia nafasi” Itakuwa na maana Mfanyakazi anapokwenda kushikilia\nnafasi (relieving duties) kwa rnuda usiozidi siku 90 katika kituo kingine.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Likizo”Itakuwa na maana ya kutokuwepo kazini kwa ruhusa ya Mwajiri\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Likizo ya Ugonjwa”Itakuwa na maana ya kutokuwepo kazini kwa Mfanyakazi\nkwa sababu za ugonjwa baada ya kupata ushauri wa Daktari aliyesajiliwa na\nanayetarnbulika na Mwajiri, na kuruhusiwa kiofisi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“MAC”Itakuwa na maana ya “Management Appointments Committee”\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Mfanyakazi”Itakuwa na maana ya mtu aliyeajiriwa na Kampuni isipokuwa\nMkurugerizi Mtendaji, “Expatriates” na wenye ajira za mikataba maalumu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Mfanyakazi wa zamu”Itakuwa na maana ya Mfanyakazi aliyepangwa kufanya\nkazi siku yoyote ya wiki na arnbaye saa zake za kazi si Jazima ziendane na saa\nza kawaida za Kampuni\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Watumishi Watendaji Katika Treni”\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(Running Staff)Itakuwa na maana ya Mfanyakazi yeyote anayefanya kazi katika\nTren. Hawa Nipamoja na:\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•Dereva wa Treni;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•Dereva wa Treni Msaidizi (Shunter);\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•Mhudumu wa Behewa;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•Gadi wa Treni;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•Anayekagua Tiketi ndani ya Treni (Travelling Ticket Examiner, TTE)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•Fundi Umeme (Electrician)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>4.0. TAFSIRI YA MKATABA\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mkataba huu ni Mkataba halali baina ya Kampuni na TRAWU na hautengui Sheria\nzozote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Kanuni na taratibu ndogo ndogo\nzilizopitishwa chini ya Sheria.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>5.0. MADHUMUNI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>5.1 Pande hizi mbili zinakubali na kutambua kwarnba:\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Ajira ya kuaminika ya Wafanyakazi, maendeleo yao na hali ya maisha yao\nyanategemea mafanikio, kuwepo na kuendelea kuwepo kwa Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Kampuni katika majukumu yake, ina dhamana ya kusafirisha abiria na\nmizigo. Katika kutekeleza dhamana hiyo, Kampuni, vile vile, ina jukumu la\nkujiendesha kibiashara.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>5.2. Kampuni inatazamia Wafanyakazi wake kuonyesha utii, ari ya kazi na\nkudumisha kiwango cha juu cha utendaji wa kazi 'kwa-kuzingatia na kuonyesha\nbidii na nidframu ya kazi. Aid ha, Kampuni inawajibika kwa ustawi na usalama wa\nWafanyakazi wake, abiria na mizigo. Hivyo Kampuni na . Chama cha Wafanyakazi\nwanawajibika kwa pamoja kama ifuatavyo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) kampuni itawajibika kuandaa miundo ya mishahara na mazingira muafaka ili\nkuboresha ufanisi wa Kampuni na hali ya ajira kwa Wafanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Kampuni na TRAWU watawajibika ktijadili miundo ya mishahara na mazingira\nya kazi ili kuepusha migogoro inayoweza kusababisha hasara katika Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Kuhamasisha ari ya kazi ili kuleta tija na ufanisi katika mazingira ya\namani kazini.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(d) Kudumisha ajira ya uhakika kwa kupambana na aina zote za wizi, uzembe,\nulevi, utoro, hujuma na utovu wa nidhamu kazini.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(e) Kusimamia na kuhakikisha usalama na ubora wa nyenzo, vitendea kazi\npamoja na mitambo, njia ya reli na majengo ya Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(f) Kanuni zozote za ndani ya Kampuni (TRL Service Regulations)\nzinazopingana na Sheria au Mkataba huu zitakuwa ni batili.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>5.3 Kampuni itawajibika kulipa marupurupu yote yaliyomo ndani ya mkataba\nhuu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>MUDA WA MKATABA\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>6.1 Mkataba huu utadumu kwa kipindi cha miezi ishirini na nne (24) kuanzia\ntarehe 10 Machi 2011 mpaka 09 Machi, 2013 na utaheshimiwa na utatekelezwa\nlcipindi chote cha Mkataba. Hata hivyo, Mkataba huu utaanza kutumika rasmi mara\ntu baada ya kusainiwa, bali tuzo ya kustaafu itaanza tarehe 10 Machi, 2011.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>6.2. Wakati wote wa Mkataba huu masharti ya utumishi ya hali bora za kazi\nyatakuwa kama ilivyo ndani ya Mkataba huu, ila marekebisho na miundo mipya ya\nmishahara yanaweza kujadiliwa kila baada ya miezi kumi ria mbiii (12)\nkutegemeana na tija.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>AJIRA\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>7.1. Utaratibu wa kujaza nafasi za kazi\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Mara inapotokea nafasi, ya ajira iliyo wazi, ateuliwe mtu rnwenye sifa na\nkuijaza kutoka ndani ya Kampuni. Endapo atakosekana mfanyakazi mwenye sifa,\nnafasi hiyo itangazwe kwa wote.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>7.2 Uchunguzi wa Kiafya kwa Ajili ya Ajira\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Mtu yeyote anayetegemea kuajiriwa na Kampuni hataruhusiwa kuajiriwa kabia\nhajafanyiwa uchunguzi wa kiafya katika hospitali inayotambuiiwa na Kampuni.\nIwapo Kampuni haitaridhika, ina haki ya kurudia uchunguzi huo. Gharama zote za\nuchunguzi zitalipwa na Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>8.0. AJIRA YA MKATABA\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi aliyestaafu na kupewa haki zake zote, au Mfanyakazi mwingirie\nkutoka nje ya Kampuni, hatapewa ajira ya mkataba kwa kuziba pengo ambalo\nlinaweza kujazwa na Mfanyakazi aliyepo kazini.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>9.0. LUGHA RASMI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Lugha rasmi itakayotumika katika Kampuni ni Kiswahili na Kiingereza.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>10.0 TAARIFA KWA MFANYAKAZI.\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mara baada ya kuajiriwa, Mfanyakazi atapewa habari zote muhirnu kuhusu ajira\nyake kwa maandishi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>11.0 SAA. ZA KAZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-hourspday_select\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-SCHEDULE_trigger\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-schedulesrestpw\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-dayspweek\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-dayspweek_select\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>11.1 Wafanyakazi wa kazi za zamu watapangiwa zamu kwa mzunguko katika siku\nyoyote kwa juma kutoka Jumatatu hadi Jumapili i.limradi Mfanyakazi rnhusika\natastahili siku moja ya mapumziko kwa juma.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Cp>11.2 Hakuna Mfanyakazi yeyote atakayebadili saa alizoparigiwa kufanya kazi,\nkubadilisha zamu za kazi kati ya mtu na mtu au kutpkuhudhuria kazini bila\nruhusa ya Msimamizi wa Kazi\u002FKitengo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-hourspday\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>11.3 Saa za kufanya kazi ni zile ambazo zimekubalika kisheria na\nzitazingatia Sheria zilizopitishwa na Bunge juu ya jurrila ya saa za kazi\nkatika siku na juma na Mikataba ya Kimataifa iliyoridhiwa na Serikali.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-overtimeallowanceperc1\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-overtimeallowancetypeperiod\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-overtimeallowancetype\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-OVERTIME_trigger\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>11.4 (a) Iwapo Mfanyakazi atatakiwa kufanya kazi zaidi ya saa za kawaida\natastahili kulipwa malipo ya saa za ziada (Overtime).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Malipo ya saa za ziada yatakuwa kutokana na Sheria ya Ajira iliyopo mara\nmoja na nusu ya malipo katika siku za kawaida, na mara mbili ya malipo ya\nkutvya ya siku za mapumziko na siku kuu.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-shiftallowanceperc1\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-shiftallowancetype\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-NOCTPREM_trigger\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>(c) Kutokana na Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini Mwajiri.atamlipa\nMfanyakazi angalau asilirnia tano (5%) ya mshahara halisi wa mfanyakazi kwa\nkila saa aliyofanya usiku na kama masaa aliyofanya ni ya masaa ya ziada\nasilirnia tano itakokotolewa katika kiwango cha malipo ya ziada ya\nmfanyakazi.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>12.0 UTOAJI TAARIFA YA KUACHA AU KUACHISHWA KAZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>12.1 Mfanyakazi yeyote wa kudumu mwenye nia ya kuacha kazi, atatakiwa kutoa\ntaarifa ya miezi mitatu (3) ya kuabha kazi. Kampuni pia itatoa taarifa ya muda\nhuo huo endapo inakusudia kumwachisha kazi Mfanyakazi wa kudumu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>12.2 Iwapo Kampuni au Mfanyakazi atashindwa kutoa taarifa (notisi) ya miezi\nmitatu kwa upande mwingine, upande unaohusika utalipa mshahara wa mwezi mmoja\nbadala ya notisi..\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>12.3 Taarifa ya kuacha au kuachishwa kazi inaweza kutolewa wakati wowote\nkulingana na taratibu ziiizopo, na tarehe ya utoaji notisi itakuwa ndani ya\nkipindi cha utoaji wa taarifa hiyo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>12.4 Kutegemea uamuzi wa Mwajiri, taarifa ya kuacha kazi haiwezi\nikabadilishwa au kufutwa mara itakapopokelewa kimaandishi. .\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>12.5 Malipo yote anayostahili anayeacha au kuachishwa kazi yatafanyika\nkatika kipindi cha miezi mitatu ya taarifa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>13.0 MASHAURI YA KINIDHAMU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>13.1 Iwapo Mfanyakazi atatuhumiwa kutenda kosa la kinidhamu shauri lake\nlitashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria za nchi na au kwa kanuni za nidhamu za\nKampuni kama ilivyo katika kiambatanisho Na. 1 (Annexure 1} cha Mkataba huu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>13.2 Mashauri ya kinidhamu yanayowakutariisha Mwajiri na Mfanyakazi maamuzi\nyake yasichukue zaidi ya siku 90 taka Mfanyakazi kupewa barua ya tuhuma\nisipokuwa kwa kesi za Jinai ambazo maamuzi yake hutegemea Mahakama.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>14.0 KUPANDISHWA DARAJA\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>14.1 Utambuzi wa mtu rnwenye sifa za kupanda cheo\u002Fdaraja utazingatia elirnu,\nstadi, utendaji kazi, uwezo na utumishi wa muda mrefu katika Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>14.2 Mfanyakazi aliyepandishwa daraja atatumikia nafasi hiyo kwa kipindi cha\nmiezi sita (6).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>14.3 Mfanyakazi ambaye atapandishwa daraja, kwa kuanzia atalipwa kiwango cha\nchini cha mshahara, katika daraja lake jipya, kinachozidi mshahara wake wa\ndaraja la zamani.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>14.4 Mfanyakazi yeyote atakayekataa kupandishwa daraja bila ya kuwa na\nsababu za msingi, hatafikiriwa kupandishwa cheo mpaka hapo waiiokuwa katika\ndaraja hilo kwa wakati huo watakapokuwa wamepandishwa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>15.0 UTEUZI WA KUKAIMU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>15.1 Mfanyakazi anaweza kukaimu nafasi ya juu kwa taratibu zifuatazo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Uteuzi wa kukaimu kwenye nafasi iliyo wazi mdja kwa rnoja (permanently\nvacant), usiozidl miezi sita (6). Kama-utazidi hapo, itabidi Mfanyakazi\nathibitishwe katika nafasi hiyo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Nafasi ya kukaimu kwa ajili ya kufanikisha shughuli za utawala\n(administrative convenience) liazima iwe katika maandishi ya uteuzi huo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Uteuzi wowote wa kukaimu uwe wa maandishi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>15.2 Mfanyakazi yeyote atakayetaldwa kukaimu kutokana na kifungu kidogo cha\n15.1 atakuwa na haki ya kulipwa stahili zifuatazo;baada ya kutimiza siku kumi\nna nne (14) mfululizo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Malipo ya majukumu ya nafasi ya Mkaimu yatalipwa kutokana na kanuni\nziiizopo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Posho ya kukaimu, itakuwa ni tofauti kati ya mshahara wa Mkaimu na\nkiwango cha chini cha ngazi ya mshahara wa Mkaimiwa. Iwapo kiwango cha chini\ncha ngajd ya mshahara wa Mkaimiwa kitakuwa c'hini ya mshahara wa Mkaimu, posho\nhiyo itakuwa ni tofauti kati ya mshahara wa Mkaimu wa kiwango cha chini cha\nmshahara, katika ngazi ya Mkaimiwa, kinachozidi mshahara wa Mkaimu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>15.3. Mfanyakazi yeyote atakayeteuliwa kukaimu atazingatia na kuheshimu saa\nza kazi, masharti ya kazi, mazingira na hali ya kazi kulingana na nafasi\naliyopewa kukaimu\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>16.0 UHAMISHO\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>16.1 Mfanyakazi yeyote anaweza kuhamrshwa rnoja kwa moja au kwa muda toka\nkituo kimoja hadi kingine. Uhamisho huo utasitishwa pale mwajiri atakaporidhika\nna matatizo ya mfanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>16.2 Mfanyakazi yeyote atakayekataa uhamisho unaoambatana na kupandishwa\ncheo (Transfer on Promotion), kwa sababu zake binafsi, atakuwa amepoteza haki\nyake ya “Promotion” hiyo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>16.3 Mfanyakazi am.baye ni kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli\nTanzania (Mwenyekiti, Katibu wa-Tawi na Mwenyekiti wa Kanda) iwapo atatakiwa\nkuhamishwa nje ya eneo lake la uongozi uhamisho ambao si kupanda Daraja,\nMenejiment itafanya mashauriano na Chama cha Wafanyakazi ngazi ya Taifa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>17.0 LIKIZO\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-holidaysdays\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-PAIDLEAV_trigger\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>17.1 Likizo ya mwaka itakuwa siku ishirini na nane (28) na itatolewa kufuata\nsiku za kalenda.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Cp>17.2 Likizo ya mwaka itatolewa kwa Mfanyakazi baada ya kutimiza miezi kumi\nna miwiii kazini tangu kuajiriwa. Mfanyakazi, mke\u002Fmume na watoto au wategemezi\nwanaotambuiika kisheria ili mradi idadi yao isizidi wanne, watastahili tiketi\nmoja (1) (return ticket) au nauli kwa wale ambao wanatoka sehemu ambkzo hazina\nhuduma za roll kwa mwaka katika daraja analostahili Mfanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>17.3 Limbikizo la likizo halitazidi mara mbili ya stahili ya likizo ya\nmwaka, isipokuwa kama kuna sababu maalum. Likizo italimbikizwa zaidi ya stahili\nya miaka miwiii pale tu ambapo imeombwa na Mfanyakazi na kuzuiwa na Mwajiri\nkimaandishi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>17.4 Mfanyakazi anavf\u002Feza kubadili muda wa likizo yake kwa kuandika barua ya\nmaombi kwa Mwajiri. Hata hivyo maombi yatategemea uamuzi wa Mkurugenzi Mtendaji\nkwa kuzingatia hali ya kazi na uwezo wa kifedha katika Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>17.5 Mfanyakazi yeyote anayechukua likizo'isiyopungua siku kumi na tano\n(15), anaweza kuchukua malipo badala ya likizo, kwa kiwango kisichozidi siku\nhamsini na sita (56) katika siku zake zilizosalia, kutegemea na uamuzi wa\nMkurugenzi Mtendaji.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>17.6 Mfanyakazi yeyote ambaye likizo yake ya mwaka itakataliwa, siku zake za\nlikizo zitalimbikizwa kulingana na kifungu cha 17.3 hapo juu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>17.7 Likizo inaweza, kutolewa kwa idhini ya Mkurugenzi Mtendaji au Kiongozi\nyeyote aliyepewa mamlaka hayo na Mkurugenzi Mtendaji. Na kwa mamlaka’yake\nanaweza kukubali, kubadilisha, au kuahirisha kulingana na hali ya Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>17.8 Mfanyakazi yeyote ambaye amepata likizo kutokana na kifungu 17.1 na\nanaendelea na likizo, ana haki ya marupurupu kama ilivyoelezwa kwenye kifungu\nNa. 17.2 cha makubaliano haya.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>18.0 LIKIZO-YA UZAZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-jobsecuritymothers\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-paidmaternityleaveduration\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-paidmaternityleave\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>18.1 Mfanyakazi wa kike anjibaye ametimiza muda wa rnajaribio wa miezi kumi\nna mbili (12) atastahili kupata likizo ya uzazi ya siku themanini na nne (84)\nyenye malipo ya mshahara. Mfanyakazi atakayejifungua kabla ya kumaliza kipindi\ncha majaribio cha miezi kumi na mbili (12) hatastahili iikizo ya uzazi, i!a\nanaweza kuomba na kupewa Iikizo bila malipo isiyozidi siku themanini na nne\n(84). Likizo ya uzazi haiwezi kuuzwa.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Cp>18.2 Likizo ya uzazi itatoiewa mara moja baada ya miaka mitatu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>18.3 Iwapo Mfanyakazi war;kike atajifungua mtoto aliyekufa au ambaye\natafariki katika kipindi cha mwaka mmoja tangu azaliwe, Mfanyakazi huyo\natastahili kupata likizo nyingine ya uzazi kabla ya kutimiza miaka mitatu\n(3).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-paidpaternityleaveduration\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-paidpaternityleave\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>18.4 Iwapo mke wa mfanyakazi atajifungua mtoto, mfanyakazi atastahili likizo\nya siku tatu (3) kwa mujibu'wa kifungu 18.1 hadi 18.3 cha Mkataba huu.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>19.0 LIKIZO YA HURUMA (COMPASSIONATE LEAVE)\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Katika matukio ya kifo cha rnkqi au mume wa mfanyakazi au mtoto, mlegernezi\nau mzazi wake, mfanyakazi atastahili kupewa likizo ya huruma isiyozidi siku\nkumi na line (14). Likizo hii haitakuwa sehemu ya likizo ya kawaida ya\nmfanyakazi kwa mwaka huo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>20.0 LIKIZO YA DHARURA (EMERGENCY LEAVE)\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Likizo ya dharura isizidi siku kumi na nne (14), na likizo hii haihusishi\nmalipo yoyote ya usafiri. Likizo hii itakuwa sehemu ya likizo ya mwaka ya\nMfanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>21.0 MADARAJA YA USAFIRI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi atastahili usafiri wa Madaraja kama ifuatgvyo:\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•TRD 1-TRD 6, TRC 1-TRC 5 na TRB 1-TRB 2 Daraja la Pili Kulala.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>•TRC 6, TRB 3-TRB 6, TRA 1 -TRA 8 Daraja la Kwanza.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>22.0 MARUPURUPU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>22.1 Malipo ya Kujikimu\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi anapokuwa- katika safari za kikazi, malipo yake ya kujikimu\nyanayohusisha malazi na chakula yatafuata rnuundo utakaowekwa na mwajiri\nakizingatia ngazi ya Mfanyakazi na.mahali panapohusika, Viwango vya malipo ya\nkujikimu vitabadilishwa kila inapobidi kulingana na gharama za maisha na hali\nya Kampuni kifedha. Kwa wakati huu, muundo na viwango vitakuwa kama\nifuatavyo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ctable style=\"width: 100%\" border=\"1\">\n  \u003Ccaption>\u003C\u002Fcaption>\n  \u003Ccolgroup>\u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003C\u002Fcolgroup>\u003Ctbody>\n    \u003Ctr>\n      \u003Ctd>ENEO\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>TRA 7 - 8\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>TRA 5(R) -6\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>TRA 3 - 4 TRA 3R-4R\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>TRA 1— 2\n\n        \u003Cp>TRB 5-6\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>TRA 1R - 2R\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>TRB 5R - 6R\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>TRB 1 - 4 \n\n        \u003Cp>TRB 1R-4R \u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>TRC 1 - 6 \u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>TRD 1 - 6\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n    \u003C\u002Ftr>\n    \u003Ctr>\n      \u003Ctd>\u003Cp>Manispaa\u002FJiji\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>Mji Mkuu wa Mkoa na Wilaya\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>Mji Mdogo na Vijiji\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>Safarini (On Transit)\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>80,000\u002F=\n\n        \u003Cp>75,000\u002F\"\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>70,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>20,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>75,000\u002F=\n\n        \u003Cp>70,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>50,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>20,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>70,000\u002F=\n\n        \u003Cp>60,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>40,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>20,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>50,000\u002F=\n\n        \u003Cp>40,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>80,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>20,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>45,000\u002F=\n\n        \u003Cp>30,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>25,000\u002F=\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>20,000\u002F“\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n    \u003C\u002Ftr>\n  \u003C\u002Ftbody>\n\u003C\u002Ftable>\n\n\u003Cp>(a) Wafanyakazi wapya wanaokwenda kuanza kazi watastahili kulipwa fedha ya\nkujikimu siku kumi na nne (14).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Shirika halitalipa marupurupu ya kujikimu kwa Mfanyakazi yeyote ambaye\nanasafiri toka kituo chake cha kazi. kwenda likizo au anaporudi kutokajikizo au\nkwa Mfanyakazi aliyesimamishwa kazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Mfanyakazi anayehamishwa kutoksi Kituo kimoja hadi kingine atalipwa\nmarupurupu ambayo angelipwa wakati akiwa safarini kikazi. Kama atasafiri na\nfamilia yake atalipwa yeye na mke wake marupurupu yaliyo sawa. Iwapo atasafiri\nna watoto wake na wengine wanaomtegemea-kisheria wasiozidi wanne walio chini ya\nmiaka kumi na nane (18) au walioko katika masomo ya Sekondari watalipwa nusu ya\nmarupurupu alipwayo Mfanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(d) Mfanyakazi anayehamishwa na Kampuni haijampatia nyumba atastahili kupata\nhuduma zifuatazo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(i) Posho ya Kujikimu kwa siku ishirini na moja (21)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(ii) Kwa Mfanyakazi ambaye kutokana na ngazi yake ya kazi, anastahili kupewa\nnyumba na Mwajiri, atastahili kulipiwa pango la hoteli inayolingana na hadhi\nyake kwa siku kumi na nne (14), Kampuni itamlipia gharama za malazi na chakula\n(Full Board); au achague kupewa posho ya kujikimu kwa siku kumi na nne (14).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>22.2 Uhamisho wa Kudumu\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Mfanyakazi anapojiandaa kwa uhamisho kutoka kituo kimoja hadi kingine,\nnje ya kituo chake cha kazi; atastahili kulipwa marupurupu ya usumbufu au posho\nya usumbufu kwa kutumia kiwango cha mshahara wake wa rnwezi mmoja (basic\nsalary).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Mbali na malipo hayo hapo juu, Kampuni itakuwa na wajibu wa kulipa\ngliarama za kufunga mizigo sawa ha shilingi Jaki rnoja na elfu hamsini (Shs.\n150,000\u002F=) au shilingi laki tatu (Shs. 300,000.\u002F=) kufuatana na figazi ya\nmshahara wa Mfanyakazi, kama ilivyoainishwa kwenye sera ya Kampuni kuhusu\nmalipo hayo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Mfanyakazi atakayetakiwa kuhama toka kituo kimoja hadi kingine,\natastahili kupewa siku mbili (2) moja ya kufunga mizigo na rnoja ya kufungua\nmizigo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(d) Malipo ya uhamisho hayatalipwa iwapo uhamisho umeombwa na Mfanyakazi\nmwenyewe kutokana na sababu zake binafsi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>22.3 Kushikilia nafasi (Relieving duties)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi ambaye anatakiwa na Kampuni kwenda kushikilia nafasi ya kazi,\nhatalipwa marupurupu ya uhamisho. Badata yake atalipwa posho ya\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>“Relieving Allowance” kwa siku zisizozidi thelathini (30) kwa viwango\nvinavyotumika kwa wakati huo, kwa kuzingatia yafuatayo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Malipo ya kawaida ya posho ya kujikimu yanayolipwa kwa Mfanyakazi, pale\narribapo Kampuni haitoi malazi wala chakula.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Asilimia hamsini (50%) ya kiwango, cha kawaida cha posho ya kujikimu,\npale ambapo Kampuni inatoa malazi tu bila chakula.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Asilimia ishirini (20%) ya kiwango cha kawaida cha posho ya kujikimu,\npale ambapo Karnpuni inatoa malazi na chakula.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(d) Iwapo Mfanyakazi atahitajika kuendelea kuwepo kwenye “Relieving\nDuties”'Zaidi ya siku thelathini (30) kwa idhini ya Mkurugenzi Mtendaji\natastahili malipo kwa utaratibu ulioahishwa kwenye kifungu 22.3(a) – (d) ili\nmradi jumla yake isizidi siku tisini (90).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>22.4 Uhamisho wa muda rnfupi (Temporary Transfer)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi atakayekuwa nje ya kituo chake cha kazi kwa zaidi ya siku tisini\n(90) atahesabika kania yuko kwenye uhamisho wa muda. mfupi (Temporary\nTransfer), na atastahili rfialipo ya posho ya kujikimu ya siku therathini (30).\ninapozidi siku therathini (30), kibali kitaombwa kwa Mkurugenzi Mtendaji.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Mfanyakazi anapokuwa katika Uhamisho wa muda mfupi, atalipwa posho ya\nkujikimu ya siku therathini (30), yeye peke yake ikiwa Mwajiri hatampa\nnyumba.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Mfanyakazi anaweza kuwa kwenye uhamisho wa muda mfupi kwa kipindi\nkisichozidi miezi mitatu (3).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Baada ya miezi mitatu ya uhamisho wa muda mfupi, Mfanyakazi atastahili\nuhamisho wa kudumu, ikizingatiwa kwamba malipo ya uhamisho huu wa kudumu\nyatakuwa kwa ajili ya mke na watoto tu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>22.5 Posho ya Mavazi ya Safari (Outfit Allowance)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Posho ya mavazi ya, safari itatolewa kwa wafanyakazi wanaokwenda\nkazini\u002Fmafunzo nje ya nchi kwa kiwango cha shilingi laki tatu (300,000\u002F=).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Posho ya mavazi italipwa mara moja kila baada ya miaka mitatu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>22.6 Posho ya Nyumba\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Kampuni itatoa posho ya nyumba kila mwezi kwa Mfanyakazi wake wa kudumu,\nambaye hajapewa nyumba ya Kampuni, sawa na asilirnia kumi na saba (17%) ya\nmshahara wake wa mwezi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Inapowezekana, Mfanyakazi atapewa nyumba ya Kampuni. Mfanyakazi\natakayepewa nyumba ya Kampuni hatalipwa waia kuiipa kodi ya pango. Iwapo yeye\nna mume\u002Fmke wake wote ni waajiriwa wa Kampuni, basi mmojawapo ndiye atastahili\nkupewa nyumba na mwenzake atastahili posho ya nyumba.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>23.0 KUSTAAFU\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-pensionfund\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>23.1 Mfanyakazi atastaafu kwa mujibu wa sheria urnri wake wa kustaafu\nutakapofika. Mfanyakazi anaweza kustaafu endapo afya yake itaonekana\nhairnruhusu kuendelea na kazi yoyote na hali hiyo kuthibitishwa na Daktari\nanayetambulika na Kampuni au Bodi ya Madaktari.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>23.2. Mfanyakazi anapostaafu na kama hajalipwa haki zake zote na kampuni kwa\nwakati au kwa muda ambao kampuni itakuwa haijakamilisha michango na kuwasilisha\nmakato kwenye mifuko husika ya mwanachama, basi mfanyakazi huyo ataendelea\nkulipwa mshahara hadi hapo atakapolipwa mafao yake yote yanayotokana na\nkampuni, isipokuwa pale mfanyakazi atakapo kwepa kulipwa mafano.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>23.3 Mfanyakazi atakayepatwa na hali kama inavyoelezwa kwertye kifungu\n23.1,\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>23.2 na 23.6, ataendelea kuishi kwenye nyumba ya Kampuni mpaka hapo\natakapolipwa stahili zake zinazolipwa na Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>23.3 Mstaafu hatastahili kuendelea kuishi kwenye nyumba ya Kampuni mara\nbaada ya kupewa haki zote.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>23.4 Mstaafu atastahili tiketi moja (Free Pass) kwa mwaka yeye na mke\u002Fmume\nwake.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>23.6 Mstaafu atastahili Tuzo ya Kustaafu ya malipo ya mshahara (aliostafia)\nwa rnwezi mmoja kwa kila .mwaka kwa miaka yote ya utumishi wake.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>24.0 UTENDAJ1 WA KIJAS1R1 (MERITORIOUS CONDUCT)\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi yeyote ambaye.amefanya kitendo cha ujasiri katika kuokoa maisha\nya watu na mali ya Kampuni, taarifa yake ipelekwe kwa Mkurugenzi Mtendaji wa\nKampuni kwa kufikiriwa zawadi au tuzo inayostahili.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>25.0 MICHEZO YA KUBAHATISHA NI MARUFUKU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Hairuhusiwi kuendesha aina yoyote ya michezo ya kubahatisha katika eneo la\nkazi,\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>26.0 KUJIWEKA KWENYE MAZINGIRA YA HATARI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Tahadhari ya hali ya juu Ichukuliwe kuzuia utokeaji wa ajali, Hairuhusiwi\nkwa Mfanyakazi yeyote kukaa katika mazingira ya hatari au kuwaweka Wafanyakazi\nwenzake katika mazingira ya hatari.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>27.0 CHETI CHA UTUMISHI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi yeyote anayeacha, anayeachishwa, kupunguzwa au anayestaafu kazi\natapatiwa cheti cha utumishi na atakabidhiwa mafraf moja anapolipwa haki zake.\nCheti hicho kitakuwa na maelezo yafuatayo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Jina Ui Mfanyakazi;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Jina la Mwajiri;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Tarehe ya kuanza ajira;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(d) Aina ya kazi na cheo\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(e) Kiwango cha mshahara na daraja alilofikia wakati wa kuacha kazi;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(f) Tarehe ya kuacha kaz,i;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(g) Sababu za kuacha kazi;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(h) Namba ya NSSF\u002FPPF na Mamba ya kuajiriwa;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(i) Namba ya NSSF\u002FPPF ya Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>28.0 MALI ZA TRL ZITAKAZORUD1SHWA WAKATI WA KUACHA KAZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>28.1 Mfanyakazi atakapoacha, atakapostaafu, atakapoachishwa au\natakapopunguzwa kazi atatakiwa kurejesha mali na vifaa vyote vya Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>28.2 Iwapo kuna mali au vifaa vyovyote ambavyo havijarudishwa au\nvimeharibika kwa matumizi mabaya, gharama za vifaa hivyo au matengenezo\nzitakuwa ni deni la Mfanyakazi ambalo iitakatwa kwenye mafao yake.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>29.0 ULEVI KAZINI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>29.1 Ni marufuku kwa Mfanyakazi kutumia\u002Fkuwa na rnadawa ya kulevya, gongo,\nbangi au aina yoyote ya kileo akiwa kazini. Mfanyakazi atakayekiuka agizo hili\natachukuliwa hatua za kisheria.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>29.2 Ni marufuku kwa Mfanyakazi kuwa na aina yoyote ya kileo katika sehemu\nnyeti za Kampuni kama “Engine room\", “Brake van”, \"Control Office” na\n“Footplate\".\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>29.3 Ni marufuku kwa Mfanyakazi kuwa kazini akiwa amelewa. Ulevi\nutathibitishwa kwa kutumia vipimo maalurn an kwa kufuata taratibu nyingine\nambazo Kampuni inazitumia kwa wakati huu, kama kuthibitisha ulevi mbele ya\nmashahidi. Mfanyakazi atakayekataa kupimwa au kuthibitishwa mbele ya mashahidi\natahesabika kuwa amelewa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>30.0 POSHO YA KUJIKIMU KWA MFANYAKAZI AMBAYE AN AT AKIWA KUTOA USHAHIDI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi ambaye ameitwa kutoka kwenye kituo chake cha kazi kutoa ushahidi\nkwa mashauri yanayohusiana na Kampuni, atalipwa fed ha ya kujikimu kama iiivyo\nkatika kanuni za kazi za Kampuni zilizopo. Posho hii italipwa pale tu arnbapo\nMahakama au sehemu husika.ya kutolea ushahidi haitoi malipo hayo\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>31.0 TUZO YA UTUMISHI WA MUDA MREFU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-longserviceallowancetype2\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-longserviceallowancetype1\" class=\"cbaClause highlight focus\">\u003Cdiv id=\"clause-SENIOR_trigger\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>31.1.Mfanyakazi anayestaafu au familia ya Mfanyakazi aliyefariki ambaye\nalitimiza masharti ya tuzo ya muda mrefu atastahili kupata tuzo ya utumishi wa\nmuda mrefu kwa viwango vifuatavyo:\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ctable style=\"width: 100%\" border=\"1\">\n  \u003Ccaption>\u003C\u002Fcaption>\n  \u003Ccolgroup>\u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003C\u002Fcolgroup>\u003Ctbody>\n    \u003Ctr>\n      \u003Ctd>\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>MUDA WA UTUMISHI\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>MABATI G.30 MITA 3\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>CEMENTI MIFUKO\u003C\u002Ftd>\n    \u003C\u002Ftr>\n    \u003Ctr>\n      \u003Ctd>(i)\n\n        \u003Cp>(ii)\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>(iii)\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>(iv)\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>Miaka 16-20\n\n        \u003Cp>Miaka 21 --25\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>Miaka 26 – 30\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>Zaidi ya miaka 30\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>50\n\n        \u003Cp>60\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>80\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>100\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>50\n\n        \u003Cp>50\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>50\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>50\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n    \u003C\u002Ftr>\n  \u003C\u002Ftbody>\n\u003C\u002Ftable>\n\n\u003Cp>Hata hivyo malipo ya mabati yatalipwa kwa kiasi kitakachobaki baada ya kutoa\nyaliyokwisha kulipwa wakati wa TRC. Hii itakuwa kwa wafanyakazi waliolipwa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>31.2 Iwapo Mfanyakazi atapunguzwa kazini tuzo'hiyo itaanzia miaka 15 badala\nya 16.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>31.0 UKAGUZI WA MAJALADA BINAFSI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>32.1 Mfanyakazi haruhusiwi kushughulikia au kulikagua jalada lake .binafsi.\nBarua za mapendekezo au za kinidhamu zinazomhusu Mfanyakazi zitatunzwa katika\njalada lake binafsi. Hainan hizo zitatolewa kwa Mfanyakazi kimaandishi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>32.2 Mfanyakazi yeyote atakayekiuka utaratibu kwenye kifungu 32.1 hapo juu,\natachukuliwa hatua za kinidhamu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>32.2 VITAMBUHSHO\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Kampuni itatoa kitambulisho kwa kila Mfanyakazi wake ambacho atatakiwa\nkukionyesha kila itakapompasa kufanya hivyo. Katika mtukio ambayo Mfanyakazi\nanakosa kitambulisho, kwa kupoteza au kwa mazingira yoyote yale, anatakiwa atoe\ntaarifa kwa rrisimamizi wake ili apewe kitambulisho kingine. Kama itadhihirika\nkwamba kupotea kwa kitambulisho hicho kumesababishwa na uzembe wa mhusika,\ngharama za kitambulisho kipya zitakuwa juu ya Mfanyakazi mwenyewe.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>34.0 MALI ZA TRL ZlSITUMlKE KWA SHUGHULI ZA BINAFSI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>MTanyakazi yeyote haruhusiwi kutumia au kuhamisha chombo au rnali ya Kampuni\nkwa shughuli binafsi ila kwa idhini maalurri kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>35.0 MAONI YA WAFANYAKAZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Kila Mfanyakazi anayo haki ya kuwasiiisha kwa Mwajiri maoni yake au rnawazo\nyoyote yenye kuongeza ufanisi kwa Kampuni au kuimarisha mazingira salama ya\nkazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>36.0 MALIPO YA MSHAHARA KATIKA HALI AMBAYO UTHIBITISHO WA UWAKALA.\nUTATOLEWA AU NYARAKA ZINAWEZA KUTOLEWA NA MFANYAKAZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>36.1 Mshahara utalipwa kwa Mfanyakazi mwenyewe isipokuwa katika mazingira\nyafuatayo:\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Mfanyakazi hakuwepo katika kituo chake cha kawaida cha malipo, au\nhakuwepo kituoni kwa sababu ya likizo, au hakuwepo kituoni kwa sababu za\nugonjwa ambazo zinathibitishwa na Mganga anayetambulika\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Makato ya kisheria, kama kodi ya mapato, yatapunguzwa kutoka kwenye\nmshahara wa Mfanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>36.2 Kutokana na mazingira yaliyoelezwa kwenye kifungu 36.1(a), Mfanyakazi\nanaweza kuchukuliwa mashahara wake na mtu mwingine kama mfanya kazi atatoa\nidhini ya kulingana na utaratibu uliowekwa na Mwajiri. Mfanyakazi atatakiwa\nkutoa taarifa kwa maandishi tena ili kubadili mlipwji kuwa yeye mwenyewe\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>36.3 Katika mazingira yeyote, hairuhusiwi mtu a'liyepewa' idhini ya kuchukua\nmshalfara wa Mfanyakazi kutoa idhini nyingine kwa mtu wa tatu kuchukua mshahara\nhuo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>37.0 UFARAGHA MAENEO NYETI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mtu yeyote asiyehusika na eneo, mahali,.chumba au ofisi nyeti (kama vile\nChumba cha kuchapisha au kukatisha tiketi, “Cash Office”, Chumba cha\nMawasiliano ya Simu, “Computer Room” “Signalling Relay Room”, Carrier\nRoom”, “Control Room”, Masijala, Ndani ya Kichwa cha Treni, “Brake Van)\nhataruhusiwa kuingia katika sehemu hizo, isipokuwa kwa ruhusa maalum.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>38.0 POSHO YA USAFIRI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Kampuni itatoa posho ya usafiri sawa na shilingi elfu thelathini (Shs.\n30,000\u002F=) kwa mwezi kwa Wafanyakazi wa Kampuni kuanzia ngazi ya TRD 1 hadi TRA\n2. Hata hivyo Kampuni na TRAWUwatatafuta utaratibu wa kuingiza posho hiyo\nkatika mishahara ya Wafanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>39.0 KIFO CHA MFANYAKAZI, MKE\u002FMUME\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-funeralpay\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>39.1 Katika tukio la kifo cha Mfanyakazi, mkewe au mumewe, Kampuni itamlipa\nmfiwa anayetambuliwajumla ya shilingi laki tano (Shs. 500,000\u002F=) kama\nrambirambi (Pole na Sanda).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>39.2 Mfanyakazi aliyefiwa na mume\u002Fmke, mtoto na wazazi atapewa tiketi ya\ntreni ya kurudi ya staili yake pale penye usafiri wa Reli. Endapo hakuna\nusafiri wa Reli na akatumia basi atarudishiwa nauli.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>40.0 KIFO CHA MTOTO, BABA, MAMA AU MTU ANAYEMTEGEMEA MFANYAKAZI\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Katika tukio la kifo cha mtoto wa kuzaa Mfanyakazi, mama, baba, au mtu\nanayemtegemea Mfanyakazi, ambaye anatambulika kisheria, Mwajiri atatoa kiasi\ncha shilingi laki tatu (Shs. 300,000\u002F=) kama rambirambi (Pole na Sanda).\nMwajiri pia atagharamia sanduku\u002Fubao pamoja na usafiri mpaka sehemu ya mazishi\nndani ya Tanzania. Sehemu ya mazishi itaamuliwa na wafiwa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>41.0 KUMRUDISHA MFANYAKAZI KWAO\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>41.0(A)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Kama Mfanyakazi atafikia muda wa kustaafu, kupunguzwa, kuacha au kuachishwa\nkazi, Mwajiri atalipa gharama za kufunga mizigo na kumrudisha nyurnbani\nanakotoka. Mwajiri atamsafirisha katika daraja alilostahili akiwa rntumishi.\nHii ni pamoja na familia yake na mizigo yake kama ifuatavyo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ctable style=\"width: 100%\" border=\"1\">\n  \u003Ccaption>\u003C\u002Fcaption>\n  \u003Ccolgroup>\u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003Ccol>\n  \u003C\u002Fcolgroup>\u003Ctbody>\n    \u003Ctr>\n      \u003Ctd>MADARAJA\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>UZITO\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>FEDHA ZA KUFUNGA MIZIGO\u003C\u002Ftd>\n    \u003C\u002Ftr>\n    \u003Ctr>\n      \u003Ctd>TRD 1 - TRD 6\n\n        \u003Cp>TRC 1 - TRC 2\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>Tani 2\u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>Shs. 150,000\u002F=\n\n        \u003Cp>\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n    \u003C\u002Ftr>\n    \u003Ctr>\n      \u003Ctd>TRC 3 - TRC 6\n\n        \u003Cp>TRB 1 - TRB 6\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>TRA 1 - TRA 8\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>Tani 4\n\n        \u003Cp>\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n      \u003Ctd>Shs: 300,000\u002F=\n\n        \u003Cp>\u003C\u002Fp>\n\n        \u003Cp>\u003C\u002Fp>\n      \u003C\u002Ftd>\n    \u003C\u002Ftr>\n  \u003C\u002Ftbody>\n\u003C\u002Ftable>\n\n\u003Cp>\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>41.0 (B)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>GHARAMA ZA KUSAFIRISHA MIZIGO\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Kampuni itagharamia usafirishaji wa mizigo kwa kiwango cha shs. 1,000\u002F- kwa\ntani 1 kwa kilomita 1. Kampuni itakuwa ikihuisha viwango hivi kulingana na\nmaelekezo ya Serikali.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>42.0 KUPUNGUZWA KAZI (REDUNDANCY)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Sera ya Nchi ni kuongeza na.kulinda ajira. Katika hali hiyo, Mwajiri\nanatambua umuhimu wa matumizi bora ya Wafanyakazi kama ndio njia pekee ya\nkulinda ajira. Mata hivyo, inaweza kutokea kwamba Mwajiri ' anaiazimika\nkupunguza Wafanyakazi. Katika haii hiyo, Mwajiri atafanya rnajadiliano na TRAWU\nkupitia Baraza Kuu la Majadiliano, na kuchukua hatua zifuatazo, si chini ya\nmiezi mitatu kabla ya upunguzaji wa Wafanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) (i) Kuacha kuajiri Wafanyakazi wa muda (Contract Staff) katika fani\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>na ngazi zinazohusika;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(ii) Kuacha kuajiri Wafanyakazi wapya katika nafasi zinazohusika;\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(iii) Kuangalia uwezekano wa kuwahamishia Wafanyakazi wazuri katika sehemu\nnyingine za kazi ndani ya Kampuni (Redeployment);\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(iv) Kutoa mafunzo ya ujuzi na ustadi unaohitajika (Retraining) na kwa\nwafanyakazi waliohamishiwa kwenye sehemu nyingine ambazo hawana ujuzi nazo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Baada ya hayo yote hapo juu kufanyika, basi kifungu 38 cha Sheria ya\nAjira na Mahusiano Kazini Na 6 ya mwaka 2004 itabidi kifuatwe kukamiiisha\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>zoezi zima la upunguzaji (redundancy) kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo:\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(i) Waliofikia umri wa miaka hamsini na tano (55) au zaidi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(ii) Wenye afya mbaya ambayo uthibitisho wa vyeti vya Matibabu na taarifa ya\nDaktari utatumika katika kufikia uamuzi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(iii) Watakaoomba wenyewe kupunguzwa (wakikubaliwa na Menejimenti).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(iv) Wenye nidhamu mbaya kama itakavyoonekana kwenye mafaili yao na\nkuthibitishwa na viongozi wa matawi husika.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(v) Wale ambao Vitengo\u002FNafasi zao zimefutwa\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(vi) Waliosimamishwa, kazi zaidi ya miaka miwiii ambao watahesabika wako\nkazini tangu tarehe ya kusimamishwa kazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Hata hivyo, zitaangaliwa sababu nyingine, hasa aina ya majukumu ya\nMfanyakazi, na kumuondoa Mfanyakazi ambaye haimudu kazi, hana nidhamu au\nhazalishi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(d) Baada ya kutumia vigezo vilivyoelezwa katika kifungu cha 42 (b) (i-vi)\nna (c) na bado ikaonekana kuwa upunguzaji wa Wafanyakazi bado unahitajika.\nWafanyakazi wa ngazi moja watapunguzwa kwa kuzingatia kigezo cha waliotangulia\nkuajiriwa watakuwa wa mwisho kupunguzwa “Last In, First Out” (LIFO).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>43.0 MALIPO YA KUPUNGUZWA KAZI:\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-contractseverancepay1\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-contractseverancepay\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>43.1 Viwango vya malipo\u002Fmafao kwa wale watakaopunguzwa kazi vita kuwa kama\nifuatavyo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Mshahara wa mwezi mmoja badala ya notisi\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(b) Nauli ya kurudi nyumbani kwa Mfanyakazi na famiiia yake na mizigo\nkulingana na stahili ya Mfanyakazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(c) Limbikizo la likizo zote ambazo Mfanyakazi aliomba na kuzuiliwa na\nuongozi kutokana na majukumu ya Kampuni.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(d) Kiinua Mgongo kwa wale wanaohusika na Sheria hiyo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(e) Kwa wale Wanachama wa NSSF na PPF watalipwa mafao yao na mifuko\nhusika.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>43.2. Mfanyakazi aliyehamishiwa kwenye Kampuni na akapunguzwa atalipwa pia\nkama ifuatavyo:-\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(a) Mkono wa Heri\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(i) Mishahara ya miezi arobaini (40) katika ngazi ya TRD 1 -\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>TRD 6 na TRC 1 - TRC 2.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(ii) Mishahara ya miezi thelathini na tano (35) katika ngazi ya\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>TRC 3 - TRC 6 na TRE3 1 - TRB 3.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(iii) Mishahara ya miezi thelathini (30) katika ngazi ya TRB 4 - TRB 6.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>iv) Mishahara ya miezi ishirini (20) kaika ngazi ya.TRA 1 - TRA 8.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>b) Mafao mengineyo (Other Benefits)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Posho ya Nyumba\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Posho ya nyumba ya asilirnia kumi na saba (17%) itaendelea kutolewa kwa\nMfanyakazi aliyepuriguzwa kwa kipindi cha. miezi mitatu (3). Kwa Mfanyakazi\nanayeishi kwenye nyumba ya Kampuni ataendelea kuishi kwenye nyumba kwa kipindi\nkisichozidi miezi mitatu (3) baada ya kupunguzwa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>43.3 Mfanyakazi aliyepunguzwa na kama hajalipwa choehote katika haki zake na\nKampuni, basi Mfanyakazi huyo ataendelea kulipwa mshahara hadi hapo\natakapolipwa mafao yake na gharama za usafiri zinazotokana na Kampuni isipokuwa\npale Mfanyakazi atakapokwepa kulipwa mafao.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>44.0 KUHAMA AJIRA\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>44.1 Iwapo Mfanyakazi aliyepo kazini atahamishiwa kwa mwajiri mwingine ajira\nyake itaendelea kutambuiiwa tangu alipoajiiiwa kabla ya kuhamishiwa kwa Mwajiri\nhuyo kama ilivyoelezwa kwenye Sheria, ya Reli Na. 4 ya mwaka 2002. Mafao na\nmaslahi yake nayo yataendelea karrta yalivyo katika Mkataba huu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>44.2 Iwapo mwajiri mpya atasimama kuenclesha shtighuli za reli kwa sababu\nyeyote ile, Serikali au Mamlaka yeyote itakayopewa jukumu la kuendesha shughuli\nza reli, itakuwa na wajibu wa kufekeleza yote yaliyomo ndani ya Mkataba huu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>45.0 MATIBABU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cdiv id=\"clause-healthcareaccessrelatives\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cdiv id=\"clause-healthcareaccess\" class=\"cbaClause highlight\">\u003Cp>Kampuni itagharimia matibabu kwa Mfanyakazi mke\u002Fmurne na watoto pamoja na\nwategemezi wasiozidi wanne wanaotambuliwa kisheria. Na pale ambapo hakuna\nHospitali ya Kampuni, Kampuni itagharimia matibabu hayo ndani na nje ya\nnchi.\u003C\u002Fp>\u003C\u002Fdiv>\u003C\u002Fdiv>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>46.0 MAFUNZO YANAYO IDHINISIHWA NA TRAWU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Mfanyakazi ambaye, kwa idhini ya Mkurugenzi Mtendaji, atahudhuria mafunzo,\nvikao vya Vyama vya Wafanyakazi au semina iliyoidhinishwa na TRAWU, atahesabika\nkuwa yuko kazini katika kipindi chote cha, rnafunzo au semina hiyo\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>47.0 WADI YA MFANYAKAZI BORA\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Kutokana na ushauri wa TRAWU, Baraza la Majadiliario la Wilaya na Kamati ya\nUtendaji ya Menejimenti ya Kampuni, Wafanyakazi Bora wawili (2) wa Ki-Wilaya\nwatapewa cheti na zawadi ya Shilingi laki sita (Shs. 600,000\u002F=) kila mmoja.\nMfanyakazi wa Ki-Taifa atapewa cheti na zawadi ya Shilingi Millioni mbili (Shs.\n2,000,000\u002F=)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>48.0 KATABA WA UWAKALA (AGENCY SHOP AGREEMENT\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>Kampuni na TRAWU watafanya mkataba wa uwaka1a (Agency Shop Agreement) chini\nya Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini No. 6, 2004 kifungu No. 72 (2).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>49.0 LIKIZO BILA MALIPO KWA VIONGOZI WA CHAMA (TRAWU)\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>(i) Mfanyakazi atakayechaguliwa au kuteuliwa kwa kazi za Chama (TRAWU)\nambazo ni za utendaji wa kila siku (full time duties) mfano Katibu Mkuu au\nNaibu -Katibu Mkuu atahesabiwa kuwa yupoMikizo bila malipo mpaka pale\natakapokuwa ameacha nafasi hiyo.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>(ii) Mfanyakazi aliyemaliza kipindi chake cha-utumishi ambacho kinaelezwa\nkatika kifungu cha (i) atarudishiwa daraja lake- aliloliacha wakati\nalipoteuliwa\u002Fkuchaguliwa katika nafasi hiyo. Endapo nafasi aliyokuwa nayo ama\ninayofanana ipo atarudishwa kazini.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>50.0 POSHO YA MILEAGE (MILEAGE ALLOWANCE)\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>“Running staff” watastahili kuIipwa posho ya shilingi kumi na tano\n(I5\u002F=) kwa kila kilomita moja itakayofanyiwa kazi. Malipo hayo yataingia kwenye\nmshahara.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>51.0 MALENGO NA TIJA\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>51.1 Kampuni itaweka malengo na mipango yake ya kazi na kuyapitisha katika\nBaraza Kuu la Wafanyakazi ambalo litaishauri Bodi ya Wakumgenzi. Baada ya\nkukamilika Menejimenti ya Kampuni na TRAWU watakuwa na jukumu la kuwaelimisha\nWafanyakazi wa ngazi zote kuhusu malengo, mipango na mikakati ya utekelezaji\nkama ilivyo kwenye kiambatisho Na. 2 cha Mkataba huu.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>51.2 Kampuni itakuwa inawapa taarifa ya utekelezaji (Performance Report)\nWafanyakazi kupitia matawi yao ya TRAWU kila baada ya miezi sita (6).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>51.3 Kampuni na TRAWU watashauriana na kuweka mipango mizuri ya motisha\nambayo itakuwa kichocheo cha ufanisi wa kazi.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>51.4 Menejimenti ya Kampuni na TRAWU kwa pamoja wataweka mikakati\nitakayohakikisha kuwa aina zote za wizi na; ubadhilifu wa mail za Kampuni na\nwateja unazuiwa kadri iwezekanavyo ill kuimarisha uwezo wa Kampuni kifedha.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Ch3>\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Ch3>52.0 KUREKEBtSHA AU KUFUTA MKATABA HUU\u003C\u002Fh3>\n\n\u003Cp>52.1 Mkataba huu utafanyiwa marekebisho au kufutwa kabisa kwa makubaliano ya\npande zote mbili. Taarifa ya kusudio la kurekebisha au kufuta Mkataba huu\nitatolewa kwa maandishi katika kipindi kisichopungua miezi mitatu (3) kwa kila\nupande.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>52.2 Mkataba huu utaendelea kutambulika na pande zote zinazohusika hata kama\nMwajiri atabadilika hadi hapo Mkataba'mwingine utakapofungwa ili kuendeleza\nmahusiano mazuri, ufanisi na arnahi kazi (Industrial harmony).\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>52.3 Miezi site kabla ya Mkataba kumalizika pande zote mbili zitakaa na\nkujadiliana juu ya Mkataba mpya na katika muda wote Wa majadiliano Mkataba huu\nutaendelea kuturnika na kuheshimiwa hadi hapo Mkataba mpya utakapokuwa\numesainiwa.\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>KWA HIYO, Ufungaji na Makubaliano ya Mkataba huu kwa pande zote mbili\nzilizotajwa hapa chini yamefanyika hapa Dar es Salaam leo tare 29 Mwezi 02\nMwaka 2012\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Jina\n……………………………………………………………\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Sahihi …………………………………………………………\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Cheo\u002FWadhifa: MWENYEKITI WA BODI KAMPUNI YA RELI TANZANIA (TRL)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Jina\n…………………………………………………………….\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Sahihi\n…………………………………………………………..\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Cheo\u002FWadhifa: MKURUGENZI MTENDAJI – KAMPUNI YA RELI TANZANIA (TRL)\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Jina\n……………………………………………………………\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>Sahihi …………………………………………………………\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>\u003C\u002Fp>\n\n\u003Cp>\u003C\u002Fp>\n\n\n\n            ",{"hourspday_select":44,"longserviceallowancetype2":48,"paidmaternityleaveduration":52,"dayspweek":56,"shiftallowanceperc1":59,"hourspday":63,"funeralpay":67,"pensionfund":71,"OVERTIME_trigger":75,"holidaysdays":79,"healthcareaccess":83,"shiftallowancetype":87,"overtimeallowanceperc1":89,"schedulesrestpw":91,"longserviceallowancetype1":93,"dayspweek_select":95,"SCHEDULE_trigger":97,"paidpaternityleave":99,"jobsecuritymothers":103,"NOCTPREM_trigger":105,"healthcareaccessrelatives":107,"contractseverancepay1":109,"overtimeallowancetype":113,"overtimeallowancetypeperiod":115,"SENIOR_trigger":117,"paidmaternityleave":119,"contractseverancepay":121,"PAIDLEAV_trigger":123,"paidpaternityleaveduration":125},{"bindId":45,"name":46,"text":47},"hourspday_select","11.1 Wafanyakazi wa kazi za zamu watapan","11.1 Wafanyakazi wa kazi za zamu watapangiwa zamu kwa mzunguko katika siku\nyoyote kwa juma kutoka Jumatatu hadi Jumapili i.limradi Mfanyakazi rnhusika\natastahili siku moja ya mapumziko kwa juma.\n\n11.2 Hakuna Mfanyakazi yeyote atakayebadili saa alizoparigiwa kufanya kazi,\nkubadilisha zamu za kazi kati ya mtu na mtu au kutpkuhudhuria kazini bila\nruhusa ya Msimamizi wa Kazi\u002FKitengo.\n\n11.3 Saa za kufanya kazi ni zile ambazo zimekubalika kisheria na\nzitazingatia Sheria zilizopitishwa na Bunge juu ya jurrila ya saa za kazi\nkatika siku na juma na Mikataba ya Kimataifa iliyoridhiwa na Serikali.\n\n11.4 (a) Iwapo Mfanyakazi atatakiwa kufanya kazi zaidi ya saa za kawaida\natastahili kulipwa malipo ya saa za ziada (Overtime).\n\n(b) Malipo ya saa za ziada yatakuwa kutokana na Sheria ya Ajira iliyopo mara\nmoja na nusu ya malipo katika siku za kawaida, na mara mbili ya malipo ya\nkutvya ya siku za mapumziko na siku kuu.\n\n(c) Kutokana na Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini Mwajiri.atamlipa\nMfanyakazi angalau asilirnia tano (5%) ya mshahara halisi wa mfanyakazi kwa\nkila saa aliyofanya usiku na kama masaa aliyofanya ni ya masaa ya ziada\nasilirnia tano itakokotolewa katika kiwango cha malipo ya ziada ya\nmfanyakazi.",{"bindId":49,"name":50,"text":51},"longserviceallowancetype2","31.1.Mfanyakazi anayestaafu au familia y","31.1.Mfanyakazi anayestaafu au familia ya Mfanyakazi aliyefariki ambaye\nalitimiza masharti ya tuzo ya muda mrefu atastahili kupata tuzo ya utumishi wa\nmuda mrefu kwa viwango vifuatavyo:\n\n\n  \n  \n  \n  \n  \n  \n    \n      \n      MUDA WA UTUMISHI\n      MABATI G.30 MITA 3\n      CEMENTI MIFUKO\n    \n    \n      (i)\n\n        (ii)\n\n        (iii)\n\n        (iv)\n      \n      Miaka 16-20\n\n        Miaka 21 --25\n\n        Miaka 26 – 30\n\n        Zaidi ya miaka 30\n      \n      50\n\n        60\n\n        80\n\n        100\n      \n      50\n\n        50\n\n        50\n\n        50\n      \n    \n  \n\n\nHata hivyo malipo ya mabati yatalipwa kwa kiasi kitakachobaki baada ya kutoa\nyaliyokwisha kulipwa wakati wa TRC. Hii itakuwa kwa wafanyakazi waliolipwa.\n\n31.2 Iwapo Mfanyakazi atapunguzwa kazini tuzo'hiyo itaanzia miaka 15 badala\nya 16.",{"bindId":53,"name":54,"text":55},"paidmaternityleaveduration","18.1 Mfanyakazi wa kike anjibaye ametimi","18.1 Mfanyakazi wa kike anjibaye ametimiza muda wa rnajaribio wa miezi kumi\nna mbili (12) atastahili kupata likizo ya uzazi ya siku themanini na nne (84)\nyenye malipo ya mshahara. Mfanyakazi atakayejifungua kabla ya kumaliza kipindi\ncha majaribio cha miezi kumi na mbili (12) hatastahili iikizo ya uzazi, i!a\nanaweza kuomba na kupewa Iikizo bila malipo isiyozidi siku themanini na nne\n(84). Likizo ya uzazi haiwezi kuuzwa.",{"bindId":57,"name":46,"text":58},"dayspweek","11.1 Wafanyakazi wa kazi za zamu watapangiwa zamu kwa mzunguko katika siku\nyoyote kwa juma kutoka Jumatatu hadi Jumapili i.limradi Mfanyakazi rnhusika\natastahili siku moja ya mapumziko kwa juma.",{"bindId":60,"name":61,"text":62},"shiftallowanceperc1","(c) Kutokana na Sheria ya Ajira na Mahus","(c) Kutokana na Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini Mwajiri.atamlipa\nMfanyakazi angalau asilirnia tano (5%) ya mshahara halisi wa mfanyakazi kwa\nkila saa aliyofanya usiku na kama masaa aliyofanya ni ya masaa ya ziada\nasilirnia tano itakokotolewa katika kiwango cha malipo ya ziada ya\nmfanyakazi.",{"bindId":64,"name":65,"text":66},"hourspday","11.3 Saa za kufanya kazi ni zile ambazo ","11.3 Saa za kufanya kazi ni zile ambazo zimekubalika kisheria na\nzitazingatia Sheria zilizopitishwa na Bunge juu ya jurrila ya saa za kazi\nkatika siku na juma na Mikataba ya Kimataifa iliyoridhiwa na Serikali.",{"bindId":68,"name":69,"text":70},"funeralpay","39.1 Katika tukio la kifo cha Mfanyakazi","39.1 Katika tukio la kifo cha Mfanyakazi, mkewe au mumewe, Kampuni itamlipa\nmfiwa anayetambuliwajumla ya shilingi laki tano (Shs. 500,000\u002F=) kama\nrambirambi (Pole na Sanda).\n\n39.2 Mfanyakazi aliyefiwa na mume\u002Fmke, mtoto na wazazi atapewa tiketi ya\ntreni ya kurudi ya staili yake pale penye usafiri wa Reli. Endapo hakuna\nusafiri wa Reli na akatumia basi atarudishiwa nauli.",{"bindId":72,"name":73,"text":74},"pensionfund","23.1 Mfanyakazi atastaafu kwa mujibu wa ","23.1 Mfanyakazi atastaafu kwa mujibu wa sheria urnri wake wa kustaafu\nutakapofika. Mfanyakazi anaweza kustaafu endapo afya yake itaonekana\nhairnruhusu kuendelea na kazi yoyote na hali hiyo kuthibitishwa na Daktari\nanayetambulika na Kampuni au Bodi ya Madaktari.\n\n23.2. Mfanyakazi anapostaafu na kama hajalipwa haki zake zote na kampuni kwa\nwakati au kwa muda ambao kampuni itakuwa haijakamilisha michango na kuwasilisha\nmakato kwenye mifuko husika ya mwanachama, basi mfanyakazi huyo ataendelea\nkulipwa mshahara hadi hapo atakapolipwa mafao yake yote yanayotokana na\nkampuni, isipokuwa pale mfanyakazi atakapo kwepa kulipwa mafano.\n\n23.3 Mfanyakazi atakayepatwa na hali kama inavyoelezwa kwertye kifungu\n23.1,\n\n23.2 na 23.6, ataendelea kuishi kwenye nyumba ya Kampuni mpaka hapo\natakapolipwa stahili zake zinazolipwa na Kampuni.\n\n23.3 Mstaafu hatastahili kuendelea kuishi kwenye nyumba ya Kampuni mara\nbaada ya kupewa haki zote.\n\n23.4 Mstaafu atastahili tiketi moja (Free Pass) kwa mwaka yeye na mke\u002Fmume\nwake.\n\n23.6 Mstaafu atastahili Tuzo ya Kustaafu ya malipo ya mshahara (aliostafia)\nwa rnwezi mmoja kwa kila .mwaka kwa miaka yote ya utumishi wake.",{"bindId":76,"name":77,"text":78},"OVERTIME_trigger","11.4 (a) Iwapo Mfanyakazi atatakiwa kufa","11.4 (a) Iwapo Mfanyakazi atatakiwa kufanya kazi zaidi ya saa za kawaida\natastahili kulipwa malipo ya saa za ziada (Overtime).\n\n(b) Malipo ya saa za ziada yatakuwa kutokana na Sheria ya Ajira iliyopo mara\nmoja na nusu ya malipo katika siku za kawaida, na mara mbili ya malipo ya\nkutvya ya siku za mapumziko na siku kuu.",{"bindId":80,"name":81,"text":82},"holidaysdays","17.1 Likizo ya mwaka itakuwa siku ishiri","17.1 Likizo ya mwaka itakuwa siku ishirini na nane (28) na itatolewa kufuata\nsiku za kalenda.",{"bindId":84,"name":85,"text":86},"healthcareaccess","Kampuni itagharimia matibabu kwa Mfanyak","Kampuni itagharimia matibabu kwa Mfanyakazi mke\u002Fmurne na watoto pamoja na\nwategemezi wasiozidi wanne wanaotambuliwa kisheria. Na pale ambapo hakuna\nHospitali ya Kampuni, Kampuni itagharimia matibabu hayo ndani na nje ya\nnchi.",{"bindId":88,"name":61,"text":62},"shiftallowancetype",{"bindId":90,"name":77,"text":78},"overtimeallowanceperc1",{"bindId":92,"name":46,"text":58},"schedulesrestpw",{"bindId":94,"name":50,"text":51},"longserviceallowancetype1",{"bindId":96,"name":46,"text":58},"dayspweek_select",{"bindId":98,"name":46,"text":58},"SCHEDULE_trigger",{"bindId":100,"name":101,"text":102},"paidpaternityleave","18.4 Iwapo mke wa mfanyakazi atajifungua","18.4 Iwapo mke wa mfanyakazi atajifungua mtoto, mfanyakazi atastahili likizo\nya siku tatu (3) kwa mujibu'wa kifungu 18.1 hadi 18.3 cha Mkataba huu.",{"bindId":104,"name":54,"text":55},"jobsecuritymothers",{"bindId":106,"name":61,"text":62},"NOCTPREM_trigger",{"bindId":108,"name":85,"text":86},"healthcareaccessrelatives",{"bindId":110,"name":111,"text":112},"contractseverancepay1","43.1 Viwango vya malipo\u002Fmafao kwa wale w","43.1 Viwango vya malipo\u002Fmafao kwa wale watakaopunguzwa kazi vita kuwa kama\nifuatavyo:-\n\n(a) Mshahara wa mwezi mmoja badala ya notisi\n\n(b) Nauli ya kurudi nyumbani kwa Mfanyakazi na famiiia yake na mizigo\nkulingana na stahili ya Mfanyakazi.\n\n(c) Limbikizo la likizo zote ambazo Mfanyakazi aliomba na kuzuiliwa na\nuongozi kutokana na majukumu ya Kampuni.\n\n(d) Kiinua Mgongo kwa wale wanaohusika na Sheria hiyo.\n\n(e) Kwa wale Wanachama wa NSSF na PPF watalipwa mafao yao na mifuko\nhusika.\n\n43.2. Mfanyakazi aliyehamishiwa kwenye Kampuni na akapunguzwa atalipwa pia\nkama ifuatavyo:-\n\n(a) Mkono wa Heri\n\n(i) Mishahara ya miezi arobaini (40) katika ngazi ya TRD 1 -\n\nTRD 6 na TRC 1 - TRC 2.\n\n(ii) Mishahara ya miezi thelathini na tano (35) katika ngazi ya\n\nTRC 3 - TRC 6 na TRE3 1 - TRB 3.\n\n(iii) Mishahara ya miezi thelathini (30) katika ngazi ya TRB 4 - TRB 6.\n\niv) Mishahara ya miezi ishirini (20) kaika ngazi ya.TRA 1 - TRA 8.\n\nb) Mafao mengineyo (Other Benefits)\n\nPosho ya Nyumba\n\nPosho ya nyumba ya asilirnia kumi na saba (17%) itaendelea kutolewa kwa\nMfanyakazi aliyepuriguzwa kwa kipindi cha. miezi mitatu (3). Kwa Mfanyakazi\nanayeishi kwenye nyumba ya Kampuni ataendelea kuishi kwenye nyumba kwa kipindi\nkisichozidi miezi mitatu (3) baada ya kupunguzwa.\n\n43.3 Mfanyakazi aliyepunguzwa na kama hajalipwa choehote katika haki zake na\nKampuni, basi Mfanyakazi huyo ataendelea kulipwa mshahara hadi hapo\natakapolipwa mafao yake na gharama za usafiri zinazotokana na Kampuni isipokuwa\npale Mfanyakazi atakapokwepa kulipwa mafao.",{"bindId":114,"name":77,"text":78},"overtimeallowancetype",{"bindId":116,"name":77,"text":78},"overtimeallowancetypeperiod",{"bindId":118,"name":50,"text":51},"SENIOR_trigger",{"bindId":120,"name":54,"text":55},"paidmaternityleave",{"bindId":122,"name":111,"text":112},"contractseverancepay",{"bindId":124,"name":81,"text":82},"PAIDLEAV_trigger",{"bindId":126,"name":101,"text":102},"paidpaternityleaveduration","\u003Chtml>\n\n    \u003Cdiv class=\"cobra-report\">\n\n        \u003Ch2>TZA Kampuni Ya Reli Tanzania (TRL) - 2011\u003C\u002Fh2>\n\n        \u003Cdiv class=\"section general\">\n\n            \n                \u003Cdiv id=\"display-start_date\">Start date: &rarr;&nbsp;2011-03-10\u003C\u002Fdiv>\n            \n            \n\n            \n                \u003Cdiv id=\"display-end_date\">End date: &rarr;&nbsp;2013-03-09\u003C\u002Fdiv>\n            \n            \n\n            \u003C!-- TODO: previous CBA logic -->\n            \u003C!-- TODO: status logic -->\n\n            \n                \u003Cdiv id=\"display-cbaratified\">Ratified by: &rarr;&nbsp;Ministry\u003C\u002Fdiv>\n                \n                \u003Cdiv id=\"display-cbaactorratified\">\n                    Ratified on: &rarr;&nbsp;2012-02-29\n                \u003C\u002Fdiv>\n            \n\n            \u003C!-- TODO: transnational_label, includingcountries_label, national_framework_label -->\n\n            \u003Cdiv id=\"display-SECTOR1\">\n                Name industry: &rarr;&nbsp;Transport, logistics, communication\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-FIRMPRI\">\n                Public\u002Fprivate sector: &rarr;&nbsp;In the private sector\n            \u003C\u002Fdiv>\n            \n            \u003Cdiv>Concluded by:\u003C\u002Fdiv>\n\n            \u003Cdiv id=\"display-CBA_MNCOMPA_1\">\n\n                \n                    \n                    \u003Cdiv>\n                        Name company: &rarr;&nbsp;\n                        Kampuni Ya Reli Tanzania (TRL)\n                    \u003C\u002Fdiv>\n                \n                \u003Cdiv id=\"display-CBA_MNCOMPA_1_txt\">\u003C\u002Fdiv>\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-CBA_MEMTRAD4_1\">\n                Names trade unions: &rarr;&nbsp;\n\n                \n                    \n                    \u003Cspan>\n                        TRAWU - Chama Cha Wafanyakazi Wa Reli Tanzania\n                    \u003C\u002Fspan>\n                \n\n                \u003Cdiv id=\"display-CBA_MEMTRAD4_1_txt\">\u003C\u002Fdiv>\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \n\n        \u003C\u002Fdiv>\n\n        \u003Cdiv class=\"section social-security-pensions\">\n            \u003Ch3 id=\"display-SOCSEC_trigger\">SOCIAL SECURITY AND PENSIONS\u003C\u002Fh3>\n            \u003Cdiv id=\"display-pensionfund\">Employer contributes to pension fund for employees: &rarr;&nbsp;Yes\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-disabilityfund\">Employer contributes to disability fund for employees: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-unemploymentfund\">Employer contributes to unemployment fund for employees: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n        \u003C\u002Fdiv>\n\n        \n\n        \n\n\n        \n\n        \u003Cdiv class=\"section work-family-arrangements\">\n            \u003Ch3 id=\"display-WORKFAM_trigger\">WORK AND FAMILY ARRANGEMENTS\u003C\u002Fh3>\n\n            \u003Cdiv id=\"display-paidmaternityleaveduration\">\n                Maternity paid leave: &rarr;&nbsp;12 weeks\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \u003Cdiv id=\"display-paidmaternityleavepayperc\">\n                Maternity paid leave restricted to 100 % of basic wage\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \u003Cdiv id=\"display-jobsecuritymothers\">Job security after maternity leave: &rarr;&nbsp;Yes\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-maternitydiscrimination\">Prohibition of discrimination related to maternity: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n              \u003Cdiv id=\"display-breastfeeding_dangerouswork\">Prohibition to oblige pregnant or breastfeeding workers to perform dangerous or unhealthy work: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n              \u003Cdiv id=\"display-riskassessment\">Workplace risk assessment on the safety and health of pregnant or nursing women: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n              \u003Cdiv id=\"display-alternatives\">Availability of alternatives to dangerous or unhealthy work for pregnant or breastfeeding workers: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n              \u003Cdiv id=\"display-timeoff\">Time off for prenatal medical examinations: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n              \u003Cdiv id=\"display-screeningnonstandard\">Prohibition of screening for pregnancy before regularising non-standard workers: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n              \u003Cdiv id=\"display-screeningpromotion\">Prohibition of screening for pregnancy before promotion: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv> \n            \u003Cdiv id=\"display-nursingmothers\">Facilities for nursing mothers: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-childcareprovision\">Employer-provided childcare facilities: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-childcaresubsidy\">Employer-subsidized childcare facilities: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n   \u003Cdiv id=\"display-educationtuition\">Monetary tuition\u002Fsubsidy for children's education: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n   \n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-paidpaternityleaveduration\">\n                Paternity paid leave: &rarr;&nbsp;3 days\n         \u003C\u002Fdiv>\n                        \n\n        \u003C\u002Fdiv>\n        \n        \n         \n\n        \u003Cdiv class=\"section employment-contracts\">\n            \u003Ch3 id=\"display-EMPCONTR_trigger\">EMPLOYMENT CONTRACTS\u003C\u002Fh3>\n\n            \n            \n            \n\n            \n            \u003Cdiv id=\"display-part_time_excluded\">Part-time workers excluded from any provision: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-tempagency\">Provisions about temporary workers: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-apprentices_excluded\">Apprentices excluded from any provision: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n            \u003Cdiv id=\"display-minijobs_excluded\">Minijobs\u002Fstudent jobs excluded from any provision: &rarr;&nbsp;\u003C\u002Fdiv>\n        \u003C\u002Fdiv>\n        \n\n        \u003Cdiv class=\"section working-hours\">\n            \u003Ch3 id=\"display-WORKHOURS_trigger\">WORKING HOURS, SCHEDULES AND HOLIDAYS\u003C\u002Fh3>\n\n            \u003Cdiv id=\"display-hourspday\">\n                Working hours per day: &rarr;&nbsp;8.0\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \n\n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-dayspweek\">\n                Working days per week: &rarr;&nbsp;6.0\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-holidaysdays\">\n                Paid annual leave: &rarr;&nbsp;28.0 days\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \u003Cdiv id=\"display-holidaysweeks\">\n                Paid annual leave: &rarr;&nbsp;4.0 weeks\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-schedulesrestpw\"> Rest period of at least one day per week agreed: &rarr;&nbsp;Yes\u003C\u002Fdiv>\n\n            \n            \n             \n            \n            \n            \n            \n            \n            \u003Cdiv id=\"display-FLEXWORK_trigger\"> Provisions on flexible work arrangements: &rarr;&nbsp;\n            \u003C\u002Fdiv>\n            \n        \u003C\u002Fdiv>\n\n        \u003Cdiv class=\"section wages\">\n            \u003Ch3 id=\"display-WAGES_trigger\">WAGES\u003C\u002Fh3>\n\n            \u003Cdiv id=\"display-PAYSCALES_trigger\">\n                Wages determined by means of pay scales: &rarr;&nbsp;No\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n\n            \n            \n\n            \n\n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-COSTLIV_trigger\">Adjustment for rising costs of living: &rarr;&nbsp;0\u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \n\n            \u003Cdiv>\n                \u003Ch4 id=\"display-NOCTPREM_trigger\">Premium for evening or night work\u003C\u002Fh4>\n                \u003Cdiv id=\"display-shiftallowanceperc1\">\n                    Premium for evening or night work: &rarr;&nbsp;105 % of basic wage\n                \u003C\u002Fdiv>\n                \n                \u003Cdiv id=\"display-shiftallowancetype1\">Premium for night work only: &rarr;&nbsp;Yes\u003C\u002Fdiv>\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \n\n\n            \u003Cdiv>\n                \u003Ch4 id=\"display-OVERTIME_trigger\">Premium for overtime work\u003C\u002Fh4>\n                \u003Cdiv id=\"display-overtimeallowanceperc1\">\n                    Premium for overtime work: &rarr;&nbsp;150 % of basic wage\n                \u003C\u002Fdiv>\n                \n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \n\n            \n\n            \n\n            \u003Cdiv>\n                \u003Ch4 id=\"display-SENIOR_trigger\">Allowance for seniority\u003C\u002Fh4>\n\n                \n\n                \n\n                \u003Cdiv id=\"display-longserviceallowancetype2\">\n                    Allowance for seniority after: &rarr;&nbsp;16 years of service\n                \u003C\u002Fdiv>\n            \u003C\u002Fdiv>\n\n            \u003Ch4>Meal vouchers\u003C\u002Fh4>\n\n            \n\n            \u003Cdiv id=\"display-MEALALL_trigger\">Meal allowances provided: &rarr;&nbsp;No\u003C\u002Fdiv>\n            \n            \u003Cdiv id=\"display-legalassistance_trigger\">\n                Free legal assistance: &rarr;&nbsp;\n            \u003C\u002Fdiv>\n        \u003C\u002Fdiv>\n\n    \u003C\u002Fdiv>\n\n\u003C\u002Fhtml>\n",[],[],"collective_agreement",[132],{"title":37,"slug":33},[134],{"type":135,"data":136},"call_to_action_body_block",{"title":137,"description":138,"variant":139,"link":140},"Compare Collective Agreements","Compare the articles of the Collective Agreements from Tanzania across sectors, topics and countries","dark",{"title":137,"url":141,"description":137,"rel":142,"type":143},"\u002Fen-tz\u002Fwork-in-tanzania\u002Fcollective-bargaining-agreement\u002Fcompare-collective-agreements","follow","internal",[145],{"type":135,"data":146},{"title":137,"description":138,"variant":139,"link":147},{"title":137,"url":141,"description":137,"rel":142,"type":143},[]]